Saturday, June 13, 2009

BABA WAWILI WA UKWELI WA EBONY FM


JAMAA ANAUPA TAFU YA KUTOSHA MUZIKI WA BONGO , ANAWAPA UNDERGROUND AIR TIME YA KUTOSHA, MTAMBUE VIZURI JINA LAKE NI EDWIN BASHIRI ANAPATIKANA PALE MTAA WA UHINDINI IRINGA

MAZEE WA THE SPLASH

DJ MUBA KUSHOTO AKIWA NA EDWIN BASHIRI HAO NDIO WAZEE WA THE SPLASH KIPINDI AMBACHO NI BURUDANI KUANZIA SAA NANE HADI SAA KUMI KATIKA 88.7 EBONY FM IRINGA

LADIEZ' TABASAMUZ

kushoto ni mwanadada Mwadharau Mthola akiwa na mwanadada Agness wakiwa wamepozi katika ofisi za radio Ebony Fm wote ni watangazaji wa ebony fm iringa

NITAFUTE


Jamaa amejipumzisha unamuona kweli

KITIMOTO NI MOTO


Nina mashaka sana na wale tunaovutiwa na yule mnyama kwa kweli khali si shwari sanaaaana Mafua ya nguruwe yameshaathiri Watu 28,000 dunia na kusababisha vifo vya watu 141

Monday, June 8, 2009

TUNDA MAN NAE ALIKUWEPO

MKALI WA HISIA NAE ALIWAPAGAWISHA WATU

KUNA RAHA YAKE KUWA KARIBU NA WAREMBO



NAMI PIA SIKUJIKOSESHA TUKIO MUHIMU KAMA HILI HAPA MKOANI IRINGA HAPA NIKIPOZI NA WASHINDI WA MISS IRINGA 09

MISS IRINGA 09 YAFANA



JON MYUZIK NAE ALIKUWEPOOOOO KUWAPA WATU WA IRINGA BURUDANI KATIKA SHINDANO LA KUMTAFUTA MISS IRINGA 2009 AMBALO LILIANDALIWA NA EBONY ENTERTAINMENT

MISS IRINGA 2009


MISS IRINGA WHITNESS TRESFORI AKIWA AMEPOZI KATIKATI BAADA YA KUTANGAZWA MSHINDI,KUSHOTO NI LYDIA TEODORI NA KULIA NI THERESA BISENDO

MISS IRINGA 2009 SHWAAAA


Wanne Star alikuwepo kutupa ngoma za asili na hapo ndipo kazi ilipoanza unajua nini ! mmh majoka yalifunguliwa akapanda nayo jukwaani .








MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Hamad Ally ‘Madee’ nae alikuwepo kuweka ladha zake katika usiku wa kumtafuta miss Iringa 2009








STEVE MZEE WA TM


Ni kijana ambaye muziki umemkaa sana damuni, anaimba jazz , blues, r&b. ni mstaarabu, anapenda kusikiliza , yupo pale ruco anasomea shahada ya sheria na anatambulika sana kwa upole wake na mtazamo wa umbo lake

Saturday, June 6, 2009







KWA HABARI ZA GHAFLA MNO AMBAZO VINJARI IMEZIKAMATA JANA USIKU KUTOKA KATIKA UKUMBI WA HIGHLAND NI KWAMBA MKUU WA MKOA WA IRINGA MOHAMED ABDULAZIZ AMETOA ONYO KWA WAMILIKI WA UKUMBI HUO WA HIGHLAND AMBAO NI UKUMBI PEKEE UNAOCHUKUA IDADI YA WATU WENGI NA UPO KATI KATI YA MJI WA IRINGA KUWA WAFANYE MAREKEBISHO YA KUONGEZA MILANGO YA DHARULA NA MADIRISHA LA SIVYO ATAUFUNGIA ......................

Friday, June 5, 2009

MZEE WA KAZI




Morgan Freeman amezaliwa tar. 1 Juni mwaka 1937 ni mshindi wa tuzo ya Oscars (Academy Award) kama mwigizaji, mwongozaji na mtunzi bora wa filamu. Morgan alikuja kufahamika zaidi kuanzia miaka ya 1990, baada ya kuonekana katika mfulilizo wa filamu zenye mafanikio huko Hollywood.
Ameweza kufanya filamu nyingi sana na hasa kinachomfanya aweze kuchaguliwa mara kwa mara na waongozaji wa filamu ni mwonekano wake na namna ambavyo anazungumza amecheza filamu zaidi ya 56 na kati ya hizo watu walimkubali saana pale alipotoka na The Dark Knight Wanted na filamu nyingine ambayo inafanya vizuri ya As thick as Thievies na hivi karibuni alipata ajali mbaya na kwa sasa anaendelea vizuri TM

JON MYUZIK ANAKUJA KIVINGINE


Jamaa ni mwimbaji ambae ana ladha ya tofauti, sauti ya kipekee kwa sasa yupo iringa ila muda wowote ule anaweza kuja na kitu fulani hivi chenye ladha nzuri ambacho amewashilikisha waimbaji wa ukweli na ni wimbo ambao umerikodiwa katika studio za mpingo hapa mitaa ya uwindini iringa endelea kuvinjari kwa stori kibao