Monday, June 8, 2009

MISS IRINGA 2009 SHWAAAA


Wanne Star alikuwepo kutupa ngoma za asili na hapo ndipo kazi ilipoanza unajua nini ! mmh majoka yalifunguliwa akapanda nayo jukwaani .








MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Hamad Ally ‘Madee’ nae alikuwepo kuweka ladha zake katika usiku wa kumtafuta miss Iringa 2009








No comments:

Post a Comment